Breaking News: Wamburi Resigns From Narc-KS

Mr. Kenneth Wamburi Munge, the Secretary of Narc-Kenya Scandinavia, has resigned from his post with immediate effect. Mr. Wamburi, who has just returned from Kenya, told KSB that his resignation is linked to unacceptable behavior by a top Party official although he refused to go into details. He said that he will release a comprehensive statement clarifying his position.

Okoth Osewe

2 comments

  • Nachukua hii fursa kukushukuru Wamburi juu ya kujiuzuru kama katibu wa chama cha Narc- Kenya hapa sweden. Mimi nilikuwa na hamu sana kuinia hijo chama kilipoanzizwa juu chairman alikuwa ameniambia vile yuo very democratic na tatenda mbali.
    Nilikutana na yeye mara kadhaa, lakini badala ya kuongea siasa ni propaganda tu za wanachama wengine alinipatia.kwanza na hurumia Muirani juu yeye ndiye ambaye chairman alifanya kama adui yake kubwa kuliko ODM. Nilitiliwa story eti Muirani ni wa ODM na ndugu yake ndiye anamu womia huko kwa ODM scandinivia. Kama na kumbuka vizuri, Muirani ndiye alikuwa suppoter mkubwa wa Kibaki na zile article zake alikuwa akiandika kwa Njoro hata wewe osewe ulikuwa ukimu attack ki siasa.
    Sasa chama ilikufa juu ya udiktator wa chairman na vizuri wamburi pia amefunguka macho na akaachaana na jahazi ili lizame.Tena mtu akishindwa na familia, hawezi ongoza watu.
    pole osewe juu ya kutaja majina ya watu, lakini naomba msamaha kwa Muirani juu picha ile nilipatiwa yake na mwaura, ni kama yeye ni mtu mumbaya lakini mimi mwenyewe nimejijulia ukweli na ukweli utatatuweka uhuru.Pole pastor Muirani na hongera wamburi.

    KSB: Umetaja ma jina lakini haujazitaja kwa njia ya uchechevu. Haturuhusi kamwe majina ya Wakenya Stockholm ziharibiwe na ma adui tofauti wanao fika hapa kuendelesha mavita zao au kuchochoea wenzao ambao hawakubaliani nawo.

  • It is the chairman who should resign if he is a disgrace to this political party. I wonder why the party members have been tolerating all his nonsense clearly explained by mchapo monitor. The members should force him out of leadership because he is a poor representative linked to bad habits.

    This chairman should immediately cease from holding public office.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.