Mwito Kwa Wabunge: Tuhakikishe Kenya Ina Katiba Mpya Mwaka Huu
Makala ya Nguvu ya Hoja kwa KSB Jumapili Machi 21, 2010
na Ndugu Mwandawiro Mghanga
Wabunge sasa wanajadiliana kuhusu hatima ya mwisho ya kielelezo cha katiba kitakachojadiliwa bungeni kisha kipelekwe kwa kura za maoni. Mkutano huu unafanyika katika Taasisi ya Utawala ya Kenya (KIA) huko Kabete. Kwanza nawapongeza kwa kuamua kufanya mkutano huo katika taasisi ya serikali badala ya zile za kibinafsi ambazo hutumiwa mara kwa mara. Kuna maana gani tujenge taasisi za serikali zenye uwezo wa kufanya mikutano mikubwa kama hiyo halafu tutumie pesa za serikali kwa zile za kibinafsi? Si huko ni kuhujumu juhudi za taasisi za umma?
Kwa wabungu kulitilia manani swala la katiba mpya ni jambo hili ni la kutia moyo. Matumaini yangu ni kwamba mijadala yote kuhusu katiba iwe na nia ya kuhakikisha tunapata Katiba mpya mapema mwaka huu. Maana tumeingojea Katiba mpya kwa muda mrefu mno. Wala hatutaki tuendele kuingojea zaidi.
Tunataka tumalize swala la Katiba mpya ili tuanze kuitekeleza ifanye kazi halisi ya kutuwezesha kupambania mfumo wa kijamii – kiuchumi utakaotupa uwezo wa kutumia rasilimali za watu na maliasili tulizo nazo kuhakikisha tunaendelea kiuchumi, kisiasa, kijamii na kitamaduni; tunaondoa umaskini na unyonyaji wa mtu kwa mtu; tunajenga utamaduni wa kidemokrasi na haki za binadamu; tunaimarisha usalama, amani na umoja wa kitaifa; tunajali na kuhifadhi mazingira; tunalinda uhuru wa taifa letu na wa kujiamulia sudi yetu sisi wenyewe; tunakuwa na utawala bora wa kuondoa ufisadi na kuhakikisha matumizi mazuri ya pesa na mali ya umma; tunajenga mfumo bora wa haki na sheria; na tunatambua na kutekeleza masilahi ya kila kabila, kundi na mtu katika jamii tangu watoto, vijana, wazee, walemavu, wanawake na wanaume. Nionavyo mimi Katiba Kielelezo kwa ujumla imefaulu kuweka msingi imara wa kujenga taifa mpya la Kenya na ndiyo ninapendekeza kuwa mijadala inayoendelea isilenge kuangusha Katiba Kielelezo bali iwe na shabaha ya kuipiga msasa Katiba Kielelezo ili iwe Katiba mpya ya kitaifa mwaka ujao, 2010.
Ninakariri tena: Katiba si Bibilia Takatifu au Korani Takatifu. Hivyo tusitumie uhai wetu wote kutafuta katiba ya umalaika ambayo haiwezi kupatikana. Isitoshe, tusidanganye kuwa kila mtu Kenya atashiriki katika kujadili na kupitisha Katiba Kielelezo. Hili kwa kweli haliwezikani. Kwani ni gharama kubwa mno na isiyo na mantiki kutengeneza nakala za kutosha kusomwa na takribani milioni arobaini ya Wakenya. Fauka ya haya, wengi ni watoto, watu wasiyojua kusoma na kuandika na ambao hawawezi kushiriki kikamilifu kwa mjadala kuhusu Katiba kwa sababu mbalimbali. Ndiyo kwa maana ni muhimu kwa wale wenye uwezo wa kushiriki katika mjadala wa Katiba Kielelezo na watakaopatia umma elimu kuhusu Katiba Kielelezo wafanye hivyo kwa kuzingatia ukweli, maadili ya kitaluma, uzalendo, kujenga mwafaka, haki na nia ya kufikia Katiba Mpya mapema mwaka ujao. Pia tukumbuke kila mara kuwa Katiba Mpya ambayo iko karibu kupatikana, itapatikana kutokana na kutengeneza mwafaka kabla ya kufanyika kwa kura za maoni, na hasa kushughulikia kikamilifu maswala nyeti ambayo bado yanaendelea kuzua utata.
Sioni kwa nini swala la Mahakama ya Kadhi linaendelea kuzua utata. Mahakama ya Kadhi yamekuwako nchini yakishughulikia mambo ya ndoa na miradhi ya Waislamu kwa mda mrefu. Jamii ya Waislamu wenyewe wanayapenda na kuyahitaji mahakama ya Kadhi ambayo hayaingilii haki za dini nyingine au watu wengine nchini. Wala hayako juu ya Katiba na pia hayakinzani na mfumo wa haki na sheria wa Kenya. Aidha, Katiba mpya inakusudiwa kuongeza wala siyo kupunguza haki. Kwa sababu hii kutambuliwa kwa Mahakama ya Kadhi na Katiba Kielelezo ni jambo nzuri na halifai kutumiwa kama kisingizio cha kutuzuia kupatikana kwa Katiba Mpya haraka iwezekanavyo.
Ilivyoko sasa wabunge wamependekeza mfumo wa utawala wa Urais. Kulingana na mapendekezo hayo yaliyotoka kwa kongamano la kwanza la wabunge wanaoshughulikia katiba lililofanyika huko Naivasha, Rais alipewa mamlaka makubwa mno. Kwangu mimi Rais anayependekezwa ni kama mfalme ambayo ana mamlaka makubwa kuliko aliyo nayo katika katiba ya sasa. Isitoshe, baadhi ya wabunge wanataka awe na mamlaka hata zaidi. Hili kwangu linanitia hofu na wasiwasi kwani hakuna demokrasi chini ya utawala wa kifalme. Naogopa hasa kwa sababu minapendelea mfumo wa utawala wa ubunge maana ndiyo wa kidemokrasi zaidi na ndiyo uliyopo kwa nchi nyingi zaidi zenye mfumo wa vyama vingi kama za Ulaya, Urusi, India, Indonesia, Israel na kadhalika.
Bali wahenga pia walisema wengi wape, hatuwezi kujadili kuhusu katiba milele. Basi tuipitishe katiba mpya hata ikiwa ni ya mfumo wa uraisi wa kifalme. Nayo iaandamane na ung’atuzi wa kweli wa kimajimbo na baraza la seneti lenyeuwezo mkubwa wa kuhakikisha ung’atuzi unatekelezwa. Hali halisi ya utekelezafi wa katiba yenyewe itatufunza ikiwa inafaa au haifai. Kama haifai hakuna kitakacho tuzuia kuibadilisha au kuirekebisha. Wacha ije.
Mwandawiro Mghanga, Barua pepe: mwandawiro2002(at)yahoo.com
Mashaka is Back With A Wife From The Village
You may have been wondering what may have happened to the flamboyant Johnstone Mashaka, the Kenyan dude who split up with his “troublesome wify” and nearly got his teeth knocked off by his new male replacement when he gate-crashed into his former crib and caught his Ex in a compromising position in the bed room with her muscular and gigantic Zairean dude who had taken over the woman’s sumptuous quarters.
Convinced that Kenya-Stockholm spinsters are too spoilt, brazenly Westernized and notoriously out of tune with the basic expectations of a prospecting Kenyan male suitor, Mashaka quietly retreated to Kenya with one sole agenda – to fix a typical Kenyan village-chick who would never again precipitate an abrupt matrimonial crisis once she was pronounced his wify and the process was as smooth as melted chocolate.
Speaking to KSB soon after his return from his wife-hunting expedition in Africa, Mashaka was upbeat that this time “It must work” because he had not just taken a new approach to the general concept of marriage but had also changed “relationship strategy” in a unique fashion – moving away from a Kenya-Stockholm wify to settle down with a typical Kenya-village chick who was more used to fetching water with a kube (plastic jag) down the river than enjoying a luxurious hot bath in a water-filled bath tab as the hubby cooked Ugali under the strict Western gender equality rules.
In short, Mashaka was done with frying chicken in the kitchen as the woman watched TV, shuffling the dishes after meals under some kind of “dish-washing time table”, changing diapers, doing the laundry, reporting his whereabouts via sms every time he detoured to Vasa Temple unexpectedly to catch up with the latest gossie and, most importantly, spending lonely evenings at home to give the woman room to go jumping in the disco with friends because it was a “Lady’s only Night”.
According to Mashaka, what bored him most was the sight of his ex wife returning home in the wee hours of the morning totally zonked after she had been guzzling red wine all night with some miscreants she called “besties” who kept pushing her for those silly Lady’s only outings which was part of the reasons why his marriage fell apart.
The main problem was that majority of these ladies were divorcees whose relationships collapsed because of weird behavior which no African male could put up with even in the name of “equality of the sexes”. His vision of a new wify was that of a chick who had never seen a wine bottle, did not know how to dance and who had never heard about “equality of the sexes” ie a chick who understood that a woman’s place is in the kitchen. The whole plan was super!
Behind the scenes, Mashaka is a ruthless dude. When his first relationship entered into crisis, he was already having a relationship with another Kenyan woman in Nairobi whose goods he had consumed during a trip, ending up ballooning her after promising her paradise in Stockholm. Unfortunately, the chick made one serious mistake. As her belly continued to swell and as Mashaka began to organize how she could relocate to Stockholm so that they could start a new life, the lady told Mashaka that her ultimate dream was to eventually travel to the United States of America, not just to study but to live there. This was Mashaka’s ultimate nightmare – a lady who still had plans of relocating once she was brought in Stockholm to play “loyal wife”.
Lunatic Perspectives
When the real signals “were returning negative” on his romantic radar screen, Mashaka consulted his obedient conscience and understood that the chick could turn out to be another heavy burden who could, once again, re-convert him into a single dude in Stockholm as she pursued her relocation plans to the United States after the process of Mapepe fixing.
Consequently, Mashaka just dumped the chick quietly with the pregnancy and changed his contact lines to disappear for ever from her life. Next, he decided to go for something completely new, original, “green” and “reliable” – a loyal and submissive wife from the village, the type who adores her husband (the bread-winner) as he pulled all strings in typical traditional style.
Using his connections in his home village deep down in the interior of Africa, Mashaka went on what he told KSB, was a “Wife hunting venture”. He had converted some Kronazz into Kenya shillings aka “Kwachazz” while his profile as a “Kenyan in Diaspora” was enough to get him “anything he wanted”, save for talking to President Mwai Kibaki or his Coalition partner, Raila Odinga.
In an isolated village in his home district of Kerugoya, Kenya, Mashaka’s handlers led him to a brown, gorgeous, beautiful and innocent young chick of twenty four who, miraculously, “became his wife” as soon as he saw her.
Apart from her beauty, which hit Mashaka like thunder-bolt, Lonah Njoki was the type of girl who was obediently harvesting fire wood in the bush to be used as fuel in the contraption of a village kitchen where the main cooker was no more than a tiny pot hinged on “three great stones” which took all the heat as real fire burnt from below, progressively converting the wood fuel into ashes in an ever ending cycle that produced constant meals to feed the entire family.
When the cooking is in progress and you are standing outside, watching developments from a distance, smoke rises lazily into the sky from the mud-walled, grass thatched roof to indicate that some Ugali-magic and Si-kuma Wiki combination may be in the works. Mashaka studied the rounded madiabas of his would be wife then pictured his fingers playing on her chesticles as she crisscrossed the home and all the time, his imagination spiraled out of control.
From his “lunatic perspective”, the “rough edges” of the chick that, according to Mashaka’s analysis, were the product of difficult village life would be smoothened easily once she got used to the hot bath tab in his apartment flat in Stockholm as she went through the different brands of skin-oil purchased from Ålens/NK and as she got used to a better diet of Managryn aka ugali, soft chicken meat, spaghetti, roast meat et al, away from hard labour in the village.
Despite the fact that the lucky chick was bare-feet, Mashaka pictured her in high heeled shoes although he imagined that she may have to undergo some orientation to enable her “acclimatize”, not just to get used to walking in high heels but also to adopt to leather boots which Stockholm women adorn especially in winter.
Acclimatization to situation in Stockholm
Another picture which crossed Mashaka’s mind as his eyes danced on the chick’s figure was the prospect of viewing her “in black tights” and a white t-shirt whose length ended “in the middle of her bosom”, leaving the other part of the mountain in full view as they strolled into a disco joint “holding hands” for the new woman to be introduced to Stockholm’s sophisticated night life. His imagination was that he would take her to Bans, Spy Bar, Kaffe Opra and other expensive joints where Kenyans can not afford. This was in line with keeping her “properly shielded” from nasty Kenyans who would begin to feed her with nasty propaganda aka fitina.
Mashaka’s calculation was that within a month (or thereabout), the lady shall have been “smoothened up” and, combined with sexy clothes (complete with tight stylish jeans and other mgongo wazi designs readily available in the Stockholm’s fashion market), a sophisticated hair-style weaved at Elizabeth’s salon and other “modernizing processes” (lipstick, foundation make-up, ear rings, penciled eyes, perfumes and what have you), the new lady of the house would eventually undergo a systematic metamorphosis that would enable her shed off her village outlook and give her the fashionable “Stockholm touch” that would send the desperado Kenya-Stockholm bachaleros running crazy “Kipepeo-style”.
For the chick’s parents back in the back-water village, the big question was whether the work they did in the bedroom 24 years ago was about to yield real fruits and Mashaka did not let them down. It was time for the single drop from the father’s equipment to pay off in a big way because Mashaka was the big dude which luck and destiny had eventually brought their way.
The chick’s paroz were members of the “Heaven Direct Apostle Church” and when Mashaka surfaced at their homestead packed with interest for their daughter who had been stuck in the village after her 8-4-4 education, it was a rare moment of a “Prayer full-filled” because for a long time, the parents had been asking God for blesses.
For a “wealthy Kenyan from Diaspora” to have shown interest in their daughter despite the millions of blond-haired white chicks in Europe, some act of divine intervention must have been at play in line with their millions of prayers and this is what, the family thought, was worth celebrating. Noticing the religious attitude with which the lucky girl’s parents viewed the impending relationship, Mashaka strengthened things by adding that it was all “an act of God” although he never even went to church due to strong hang-overs after Sato rioting in Stockholm city.
Once the traditional formalities of snatching lady Lonah Njeri were over and focus centered on marriage as the agenda, the process began to move very fast. Mashaka proposed that he didn’t want a sophisticated wedding so they settled for a simple village option that was cheap and conducive. The wedding took place at the local Church, the wedding clothes were picked from the local shops although Mashaka made sure he had a modest European suite to sustain his unique “Diaspora status”.
He then hired the local Taxi man to carry them to the church and other local cars that were available to carter for the woman’s relatives. Apparently, local and cheap weddings had been taking place in the village so when he gave signals that he wanted one, the job was easy as local contacts were quickly wired by the family to oversee every stage of the process.
The easiest was the department of food because Mashaka was advised to buy a bull to be slaughtered to carter for everybody. This was cheap because the whole food-budget cost him less than 1,500 kr. When he eventually calculated the total cost of the wedding, he parted with just about 5,000 kr, the cheapest wedding he could ever imagine and that included dowry. Next, Mashaka took her new wify to the Swedish Embassy to apply for a Permanent Residence Permit.
When we met him with his new wife in Stocky after the whole process was over, he looked a happy man although much depends on what will now happen. One thing he was not keen on was exposing the woman to Wakenya because he believes that members of the community are dangerous. For many observers who know and understand the circumstances, the big query is how Mashaka will shield his woman from Kenyans and whether he will succeed this time around after his marriage collapsed some months ago. For now, it is a wait and see situation.
Okoth Osewe
Emperor’s Brother Passes on in Kenya
Emperor, a Kenyan-Stockholmer, has lost his elder brother in Kenya. Consequently, everybody wishing to register their grief are invited to a meeting on Saturday March 20th to condole with Emperor who is planning to travel home to attend his brother’s funeral. The meeting will take place at Continental Hotel (located near the Central Station) from 17.00 hrs. Further information can be obtained by calling Emperor at: 0704871591.
The bereavement comes at a time when Mr. Ochieng Small, a Kenyan-Stockholmer, is also in mourning following the death of his wife in Kenya.
KSB takes this opportunity to send deep condolences to the bereaved family. We hope that Emperor and other family members will find the courage to go through this very difficult moment of shock and sorrow.
Okoth Osewe
St James Responds to Kenyan Journalist On Many Issues
St James, the Stockholm based music celeb, recently recieved an interview request from Mr. John Kariuki, a Kenyan journalist, asking him for photos of his crib, his ride(s), lifestyle, and so forth. KSB is sharing with readers response by St James.
Hope all is well with you and yours…I just wanted to clarify that there’s no way on earth, that I would ever clarify details on my wealth, health, or that of my kith and kin. This planet has become a dangerous place, and whilst we all try to find balance…. Please understand why I’m so vague with details.
On a personal note, I gladly go to the local watering-hole in Stockholm, and having learned that ‘Mwenye kununua pombe ovyo-ovyo ni either karao, ama mwizi’, I keep certain pertinent details to myself, out of pure neccesity. (In other words, I will gladly take the subway, or a rickety turkish cab home with my cronies… without them ever knowing that my Armed-chauffeur driven Lincoln Town-Car is never far behind).
Thankfully, Sweden and most of EU, offers tax rebates on these services to individuals who:
a) Provide employment to a vast number of Swedes
b) Are considered an export asset to the Kingdom
c) Are labeled as possible industrial-economic cog in Sweden’s present & future progress.
Otherwise, I’ve just signed a revolutionary deal, that will pave the way to how the music industry is structured in days to come. I will share this with my compratiots at home when the time comes, as I feel that it is time for local artists to not aspire to deals who’s format will be obsolete by and when they come to fruition.
Let’s all take the quantum leap to the next level… where geographic location and/or ethnicity will no longer be a deciding factor.
St James
Kenyan Sought to Collect Lottery Cash
A Kenyan is being sought by the Swedish authorities to collect a huge sum of money he won in a lottery some times back. Mr. Andrew Kimati Nganga has been requested to contact Mr. Shukri at 0737898266 for information about his jack-pot prize. He can also contact KSB for further details. Since he won the lottery last year, the Swedish authorities have been unable to trace him and they are now using all available Kenya media to try and trace the Kenyan who may soon become a millionaire if all goes well. Anybody with info about Mr. Nganga is requested to take contact accordingly so that the case can come to a closure.
Okoth Osewe
Ochieng Small Harambee on Sato 27th March
Mr. Ochieng Small, a Kenyan who lost his wife in Kenya last week, has called a harambee on Saturday 27th March at Axbyplan in Rinkeby to raise funds towards his wife funeral in Kenya. Mr. Ochien needs to travel home to attend the funeral. Friends, sympathizers and well-wishers are all welcome to the harambee with their prayers and contributions. The tragic loss has plunged the Ochieng family in deep mourning.
Okoth Osewe
Sewing Machine Operator Wanted
Pastor Samson Kariuki, based in Stockholm, is looking for a person who can operate a sewing machine for clothes to discuss a sewing project he is currently working with. He told KSB that the machine is currently with him and that anybody interested can get in touch with him at Tel: 070-4523798.
Okoth Osewe
Ufisadi Hautaondoka Bila Viongozi Kuajibika
Makala ya Nguvu ya Hoja, KSB Jumapili Machi 14, 2010
na Ndugu Mwandawiro Mghanga
Kiongozi ambaye aneweza kuwa katika msitari wa mbele wa kupambana dhidi ya ufisadi ni yule aliye msafi kabisa mbele ya ufisadi. Ni mtu yule ambaye haogopi vita hivi maana hajawahi kushiriki katika ufisadi kwa njia yoyote ile. Tena awe ni mzalendo, mkweli na mtu mwenye utu ambaye amejikomboa kutoka kwa vishawishi vya tamaa za ulimbikizaji wa pesa na mali za binafsi ambazo anazitumia kuwatawala, kuwadanganya, kuwanyonyanya na kuwanyanyasa wengine.
Mtu ambaye anaweka masilahi ya kitaifa mbele na anaeishi ili kuishi ili kuboresha maisha ya kila Mkenya kwa kutumia mamlaka aliyo nayo kupigania uhuru, usawa, haki na ukombozi wa taifa lake, huyo anaweza kutegemewa kuongoza mapambano dhidi ya adui ufisadi. Aidha, shujaa wa vita dhidi ya ufisadi anahitajika kuwa jasiri, mtu ngangari, ambaye wakati wowote ako tayari na mbioni kuutafuta na kuupiga vita popote ufisadi popote pale unapojitokeza, hata kama u miongoni mwa watu anaohusiana nao kiukoo, kikabila, kidini, kisiasa au kirafiki. Je, nani katika serikali inayotawala anaweza kuwa shujaa wa kupambana dhidi ya ufisadi kwa kutumia vigezo hivi?
Nchi hii inaendelea kukumbwa na kashafa juu ya kashfa ya ufisadi. Viongozi ambao ndiyo wanaostahili kuongoza mapambano dhidi ya ufisadi wenyewe wanatajwa kuhusika na ufusadi siku nenda siku rudi. Kila kunapokucha kunatokea kashfa mpya ya ufisadi ambayo inawahusu viongozi wa ngazi za juu za serikali. Na kila mara wanaotajwa kwa ufisadi na vyombo vya serikali vyenyewe vya kupambana dhidi ya ufisadi wanaita vyombo vya habari kulalamika kwa kusingiziwa ufisadi kwa sababu za kisiasa.
Yaani watu wanajificha ndani ya vyombo vya habari, siasa na kabila zao kujitetea kutoka kwa lawama za kushiriki ufisadi. Kisha wanaendelea tu kuwa viongozi. Taarifa za Tume ya Kenya ya Kupambana dhidi ya Ufisadi zinaendelea kuwa tamthilia na kelele za chura ambazo hazimzuii ng’ombe kunywa maji. Vilevile ni vilemba vya ukoka vinavyovishwa wananchi wanaotarajia ukweli na haki itendwe na serikali hii kuhusu ufisadi.
Ni nchi gani ulimwenguni ambapo Waziri Mkuu mwenyewe anataja baadhi ya mawaziri kuwa watuhumiwa wa ufisadi kisha akaamru wawachishwe kazi kwa muda lakini mawaziri hao wakakataa katakata kujiuzulu tena kwa kiburi na bezo? Aidha, mawaziri wenyewe wanaendelea na kazi zao za uwaziri huku wakijigamba na kujitapa mbele ya umma, hasa wa kabila zao, kuwa mashujaa? Mashujaa wa nani na nini? Mashujaa wa kabila zao, na vyama vyao na wa kuasi waziri mkuu kwa kuendelea kuwa mawaziri hata baada ya kutuhumiwa katika kashfa za ufisadi katika wizara zao.
Naye waziri mkuu anaanza vita dhidi ya ufisadi na kuviwachia njiani? Ikiwa kweli anaamini hao mawaziri wake ni watuhumiwa wa ufisadi, mbona amekubali waendelee kuwa mawaziri katika serikali ambayo tunaambiwa anaisimamia? Kwani akubali wakaidi amri yake? Haitoshi kutuambia ati ni kupuuzwa kwa agizo lake na Rais ambako kumehujumu juhudi zake za kuwaondoa mawaziri watuhumiwa hao. Je, sisi wananchi tuendelee kuvumilia kuoongozwa na watuhumiwa wa wizi kwa vile Rais amehujumu juhudi za waziri mkuu za kuwachukulia hatua?
Maji ukiyavulia nguo, bwana waziri mkuu, sharti uwe tayari kuyaoga. Maana kutuambia fulani ni watuhumiwa wa ufisadi ambao wanapaswa kufutwa kazi, hata angalawa kwa muda, ili uchuguzi ufanyike, halafu unawainulia mikono na kukubali kuendelea kuwa nao katika serikali yako na chama chako, hakika kunawapa wananchi mashaka makubwa. Ni kama kutuambia viongozi mmeshindwa kabisa na vita dhidi ya ufisadi na kwa hivyo hatuna budi ila kuendelea kukubali au kuvumilia kuongozwa na wezi. Na hili ni hatari kwa usalama na maendeleo ya kitaifa. Ndiyo kwa maana hatutakubali kuwacha vita dhidi ya mbea ufisadi kwa kuwa tukifanya hivyo tutamalizika kabisa.
Kisha tukishangazwa na ya Musa yanazuka ya Firauni. Kashfa nyingine ya ufisadi unaohusu viongozi na ardhi ya makaburi inazungumziwa jijini sasa. Na wimbo ni ule ule tu wa siku zote. Wanaoshukiwa wanajitetea kupitia kwa vyombo vya habari wakidai kuna njama za kisiasa za kutaka kuwamaliza. Nami nashindwa tena, je mambo ya ukweli, haki na sheria yanapatikana kwa magazeti, redio na runinga au mahakamani? Ada ya mja hunena mungwana ni vitendo, ikiwa jina lako limeharibiwa kwa kusingiziwa uongo mbona usiende kulisafisha mahakamani? Washtaki hao watu wanaokuharibia jina bure na udai fidia kutoka kwao? Unaogopa nini?
Maana kukataa kwenda mahakamani na badala yake kuchagua kulia na kujipiga kifua kadamnasi ya vyombo vya habari kunatufanya tushuku kuwa kuna kitu unaogopa. Ndiyo mimi husema, mshahara unaopokea pamoja na marupurupu yake yanatosha. Isitoshe, wengi wa viongozi wanaotajwa kwa kashfa za ufisadi tayari ni mamilionea na hata mabilionea. Mbona hamtosheki jamamani na hamtaishi ulimwengini milele? Mbona hamhurumii watu wenu ambao wengi ni mafukara kupinfukia? Kwa nini mnajitumbukiza katika hali ambapo mnaishi katika nyuma za glasi huku mnarushia wengine mawe. Au mnaogopa kuwarushia mawe maana mnaishi katika nyumba za glasi!
Kwa Rais Kibaki na Waziri Mkuu Raila naendelea kukariri lazima muwajibike: mawaziri wanaotuhumiwa kushiriki wizi wanga’tuke ama wang’atuliwe. Kuendelea kukubali watuhumiwa wizi wa mali ya umma kuendelea kushikilia nyadhifa za uongozi wa kitaifa ni kupalilia na kutilia mbolea uhalifu. Wala haiwezi kuwa vingine. Aidha, serikali ambayo inalinda wahalifu siyo tu haiwezi kuaminika bali pia inaaibisha nchi yetu na kuhujumu juhudi za wananchi za kujikomboa kutoka kwa umaskini ambao unakua siku nenda siku rudi. Ukweli na uambwe!
Mwandawiro Mghanga, Barua pepe: mwandawiro2002(at)yahoo.com
Former Army Officer in Crisis Appeals for Financial Help
I resigned from the Kenya Armed Forces in 1993 due to a persistent domestic problem but it has turned out to be the worst decision I have ever made in my life. I was working and living in the same military barracks with my wife who was the Brigade commander’s secretary. I had been trained both locally (Kenya Armed Forces Technical College) and overseas (India) as an instrument technician (military option). My star was rising steadily had it not been for the mix up with family affairs. My wife also resigned there after.
Later in 2001, the problems followed us in the civilian life as my wife and our second born baby boy were both diagnosed as HIV +ve during birth, while I was HIV –ve. We separated towards the end of 2002 and she has been living with the kids at my mother in law’s place ever since.
Our other child, a daughter scored B- in last years Form 4 exams while the boy is in lower class standard 3. (He has since turned HIV -ve as the doctors advice against breast feeding). I have been supporting them until last year November when I lost my tuktuk (3 wheeler taxi) to auctioneers due to default in a micro finance loan. My only piece of land had been auctioned earlier in 2001 by a different bank as I had taken a loan to do business and clear my wife’s medical bill at Avenue Nursing Home, West lands.
Currently I’m not even able to feed my own stomach and searching for a job have proved elusive as I turned 50yrs this January and hence, out of the age limit bracket.
I’m appealing to well wishers to come to my aid and help me financially (no matter how little) or otherwise, in order to get me back on track, at least for continuity of my children’s education and support. (Sponsorship for the girl’s further education most welcome). I’m fighting with suicidal tendencies as I ask myself questions without answers, why me, why me, why me God; Is all these what I was created for?
God Bless you mightily as you give my appeal a positive consideration. (Documents available for all issues mentioned above)
Sincerely yours,
John K.Kimani, mobile +254727333082;P.O.Box 46653, 00100, NAIROBI, KENYA
Kenyan Abandoned Home By “Woman Paper-Maker” Part 1
For Christopher aka “Chris”, Sweden became hell on earth a few days after his KLM flight touched down at Stockholm’s Arlanda International airport. The first thing he could not grasp when “Reality TV” began to feature in his life in Stockholm is the stupidity that soaked deep into his mind even after he was warned repeatedly not to quit his job at the Kenya Commercial Bank in Nairobi to try his luck on a greener pasture that was looming on the horizons of Sweden.
Chris arrived in Stockholm on a three month visa after being invited by his brother Jangili who became tired of him after the young bro insisted that he wanted to relocate to Sweden to “try his luck”. Jangili had repeatedly told his brother that life in Sweden is tough and that abandoning his well paying job, securing a huge Bank loan and selling off his Mitumba bizz to buy a ticket to Sweden was not worth it because he would end up losing everything but he refused to listen.
He was warned by his brother that once he arrived in Sweden, there is something Kenyans called “Mapepe” without which one could not do anything but Chris remained defiant, arguing that if others had managed to survive, he too, would beat all the odds and succeed, just like others whose lives had been transformed because they took the plunge and boarded an aircraft at Jomo Kenyatta International Airport to land in some European or American city, laden with hopes and great expectations.
According to Chris, he had “made it” in Kenya where conditions were “much more difficult” and that once he landed in Sweden, he would do “anything to succeed”. Although he was an accountant at a reputable Bank and earning reasonable salary, he insisted that he was ready to wash plates at restaurants, clean “white shit” in toilets, scrub huge sufurias at MacD, change them diapers at a Wazee colony and do “anything else” to accomplish his financial goals because “life must begin from somewhere”. His basic philosophy was that “nothing comes easily”. He was very down to earth, sometimes quoting Bob Marley who said in one of his songs that “where there is a will, there is always a way”.
When he was reminded by the good old brother that he could not do any of the things he dreamed about without “mapepe”, he hit back hard, saying that if his brother had managed to fix them papers, he too, would wire them up because “what a man has done another man can do”.
Besides, his brother was a non performer at home and came to Sweden “accidentally” after the village changaad kwachazz for his ticket so that he could proceed for further education but years after his departure, he is yet to return home as a Doctor to show that degree certificate in Medicine. Instead of studying, the village was disappointed that the brother married a white woman with whom he was reported to have been holding hands as they strolled the streets of Stockholm and kissed in public. Little did they know that it’s the woman who was responsible for delivering Mapepe and that the romantic displays in public were part of the ingredients of “Paper work”.
According to Chris, what he needed was an opportunity “to land at Arlanda International Airport” then he would begin to work out the magic from there. Sometimes when things appeared not to work out with his brother in Stockholm over his planned trip, he accused him of being lazy, stupid, ambitionless and jealous because he had not even built a house at home despite the fact that he has been residing in the land where “money grows on trees” for more than a decade. According to Chris, his brother “was useless”.
When his good bro tried to ask him why he thought money “grows on trees” in Sweden, he answered by saying that he knew several Kenyans who were living abroad and that whenever they returned home for holidays, they were always “stuffed with kwachazz”. He cited examples of Kenyans whom, before coming to Sweden, were “Chokoras” aka urchins but that when they came back, one could see and smell that they had suddenly “become rich”, swung around in taxis 24/7, lavishly treated friends during outings at five star hotels, rained money on their parents and relatives, dressed in expensive attire before returning to their bases in Stockholm, London, Copenhagen, Texas and what have you to continue with their good lives!
Since he had already managed to fix a good job and equally managed to run a well-to-do business, Chris believed that he was already in a strategic position to do better than the Chokoras who could not even make it in Kenya. In fact, he believed that if he could travel to Sweden, he would work so hard that he would manage to build a skyscraper on a piece of land he had purchased some years ago but which remained unused because he could not raise enough capital to develop it.
He was also very encouraged by the fact that every underdog he knew who had managed to board a plane and travel abroad had returned with a new profile of “wealth and opulence”. Under the circumstances, how could he ever fail, he asked himself? If his bro Jangili had failed, the explanation was that he has always been a failure “and everybody knows this”. Part of the evidence was that despite having resided in Sweden for years, Jangili had not even managed to airlift a single relative to Sweden for further studies and better opportunities.
In fact, other top losers he knew too well had even come back with huge containers loaded with posh cars in good condition, desk-top and lap-top computer systems ready for sale, plasma TV sets that could be traded in without much advertisement, projectors, micro-wave ovens, sophisticated machines of all descriptions, electric cookers, expensive clothes, stylish furniture and other valuables before deciding that since they had made “enough cash”, Europe had become a “point of no return”. He was referring to Kenyans who failed “to make their papers” but who had worked illegally, accumulated cash and loaded containers to return home for good “to do business”.
Never again would they return to suffer in the freezing winter temperatures where without hand gloves to cover your fingers, you could scream because of terrible pain caused by the biting cold after temperatures drop to minus 25 degrees Celsius. Kennedy, a returnee from Holland, told him that in winter, the atmosphere is so cold that you feel a “biting sensation” on your ear. “If you do not put on a hat on your black head, your brain can freeze”, he was warned but this did not bother him because his brother had survived many winters, a sign that despite the harsh weather, the situation did not seem lethal as long as one took precautions.
These narrations did not scare Chris because he was focused on the big picture. He wanted to make it to Sweden, make enough money then return to Kenya to explore new business opportunities and get rich so that he could live the life of a millionaire. For him, this was not a distant dream because the evidence was there for everyone to see and what he needed was just an opportunity. It is here that his brother, who was rotting in Stockholm after many years without showing any achievement, was key to his success.
Tired of being pestered, the brother sent Chris an invitation letter and he got his visa to Sweden so that he could travel and begin to pursue his dreams. Finally, Chris landed at Arlanda International Airport where he was met by his brother. They boarded a bus and headed for the Central station where they were destined to transfer to underground train and head to Alby where his bro was living in a one roomed flat. In our next installment, find out the life and times of Chris in Stockholm and how he met a woman paper-maker.
Okoth Osewe












